Friday, August 30, 2013

LEO TUTAJIFUNZA JINSI YA KUPIKA WALI WA ILIKI PAMOJA NA MAALAGE NA SOSEJI

VIFAA VYA KUTUMIA
  1. mchele 1kg
  2. maharage nusu
  3. mafuta ya kupikia nusu
  4. iliki pakiti moja
  5. nazi moja
  6. soseji pakiti moja
  7. chuvi
  8. kitungu maji kimoja
HATUA YA KUPIKA MBOGA
  • Unachukua sufuria yako unaiweka jikoni kisha unaweka mafuta kwenye sufuria,mafuta yakipata moto utaweka vitungu maji na kuvikaanga mpaka viwe vya broun, kisha utaweka maharage yako ulio yachemsha kabisa,na kuchanganya na vile vitungu kisha vikisha changanyika unaweka tuila la nazi lile la pili,lile tui likichemka unaweka la pili pamoja na zaizi utakayo itaka ya chumvi,utasubili baada ya dakika tono utaonja chumvi kama,kisha utatoa mboga yako jikoni ikiwa imeiva na yakupendeza. 

    hipicha inaonyesha  mboga ikiwa tayali kwa kuriwa na chochote ugali,wali

    

    hiki ndicho chakula chetu tulicho pika

    

    

     

HATUA YAKUPIKA WALI WA ILIKI
  • Kwanza kabisa unatakiwa kuanda mchele wako, upepete ili kutoa uchafu kisha utautia kwenye maji ili kuosha  kisha utainjika sufuria ya wali  kwenye moto kisha utaweka maji ambayo yatatosha mchele wako,nakuweka chumvi na iliki iliyo sagwa, nakufunika haya maji,badaaa ya maji kuchemka utaweka mchele ulio uosha tayali n kuchanganya maji na ulimchele uku ukionja chumvi kama imekolea kisha utafunika ukisubilia maji yakauke,baada ya dakika kama moja unaangalia kama maji yamekauaka, kama yamekauka  utaugeuza ili pande zote ziive,utafunika kw maro  ya pili ,baada ya muda kidogo chakula kitakuw kimeiva,na kiko tayali kwakula,huku ukizisubili soseji zako zikiwa kwenye maji ya moto au mafuta.Hadi hapo chakula kitakuwa kimeiva na kipo tayali  kwa kuliwa

Chakula kiko tayari kwa kuliwa

   

.

No comments:

Post a Comment